TAARIFA YA KUPOTEA KWA KIJANA SALUM RAMADHAN SALUM ABICHI (18)

6 years ago81 Views

Habari za Leo,
Pole na majukumu ya siku nzima. 

Napenda kukujulisha kuwa ndugu Salum Ramadhan Salumu (18) ,BADO hajapatikana wala hatujapata taarifa zake.

Tafadhali naomba msaada wako wa kila njia (Instagram,Facebook,Twitter,Radio,TV,Blog,Makundi ya WhatsApp,Website Nakadhalika) kusambaza taarifa ya Kupotea kwa kijana Salum Ramadhan Salum (18) ambaye hakurejea nyumbani tangu tarehe 12th May 2019. Mara ya mwisho ameonekana stendi ya Ukonga madafu akipanda gari ya kutoka Gongo la Mboto likielekea buguruni ikiwa ni safari yake ya kurejea nyumbani majira ya saa 2 usiku. 

Alikuwa amevaa shati jeupe na Suruali ya kijivu na saa rangi ya dhahabu na sendoz za wazi. Tafadhali toa taarifa kituo cha polisi kilicho karibu na wewe au naomba unijulishe kwa kupiga ama kuandika sms kwenda nda namba 0713/0766-202748. 

 Ni kijana mpole na mwenyeji wa Kiwalani BomBom kwa DSM na Mwanza ndio alipozaliwa. 
Naaomba Ushirikiano wenu kwenye changamoto hii.
Asante

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2XkmZZa
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.