TAARIFA YA KUHAMA KWA OFISI YA TUME YA UTUMISHI WA UMMA

6 years ago70 Views

KUHAMA KWA OFISI
Tunapenda kuwataarifu Wananchi na Wadau wote kuwa Ofisi ya Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) imehama kutoka Jengo la Ubungo Plaza, lililopo Barabara ya Morogoro.
Ofisi mpya ya Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) iko katika Jengo la Luthuli 1, Ghorofa ya 3 na 4 lililokuwa linatumiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais, lililoko Barabara ya Luthuli, Dar es Salaam.
KWA MAWASILIANO ZAIDI:-
Katibu,
Ofisi ya Rais,
Tume ya Utumishi wa Umma,
6 Mtaa wa Albert Luthuli, Ploti Namba 10
S.L.P. 9143,
DAR ES SALAAM
Simu:-         +(255)         738 166 703
Nukushi:-                
Barua Pepe:-         secretary@psc.go.tz
Tovuti:                  www.psc.go.tz

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2Sk92L1
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.