Unataarifiwa kwa wale wote ambao Pasi za kusafiria zimeisha muda wake mnaombwa kuzibadilisha na kupata pasi mpya.
INASHAURIWA Usisubiri dharula itokee badilisha Passport yako sasa, hata kama ni hati ya dharula ya kusafiria huchukua siku 3 mpaka 4 kua tayari.
Kila kitu kinafanyika matandaoni, kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico www.tanzaniaembassy-us.org . Fomu za passport na za hati ya dharura zinajazwa kupitia www.immigration.go.tz sehemu ya e-services.Fomu ya maombi iliyokamilika na nyaraka zote ikiwa ni pamoja na cheti cha kuzaliwa ama affidavit, cheti cha kuzaliwa ama affidavit ya mzazi mmoja wapo, nakala ya passport na nakala ya kitambulisho vinapokelewa ubalozini kupitia barua pepe ubalozi@tanzaniaembassy-us.org Kwa taarifa zaidi na maelekezo USISITE wasiliana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Washington, DC simu 202 884-1080 ASANTE. HATUA ZA UOMBAJ][ E-PA88PORT ‘ Kabla ya kujaza Fomu Mwombaji ahakikishe amefanya scanning ya picha yake Ipassport size) na ‘ Awe na Kadi yake ya bank ambayo atatumia ‘ Kwa Waombajl‘: walio miji ya mbali lazima watume 1. Mwombaji ajaze fomu online kupitia www.imm ation. o.tz Ce-services) ataona sehemu ya passport application form 2. Aprint fomu yake na kuituma kwa mail, email (ubalozi tanzaniae ass -us.or ) ama kwa kuiwasilisha Ubalozini 3. Ikishapokelewa na kuthibitishwa kwenye mfumo atatumiwa bill ya malipo katika email address aliyojaza kwenye fomu 4. Bill hiyo ya malipo itamwonyesha link ya kufanya malipo kwa njia ya mtandao 5. Kwenye link hiyo ataweka control number na kiasi cha malipo kama Bill inavyoonyesha 6. Akikamilisha malipo atume risiti yaks Ubalozini ili malipo yahakikiwe na kupangiwa miadi ya kuja kwa ajili picha na kuchukuliwa alama za vidole 7. Wakati anakuja Ubalozini ahakikishe anakuja na nakala halisi za viamhatisho vyake na atapatiwa risiti yaks ya malipo 8. Passport ikipokelewa kutoka Uhamiaji Mhusika atatumiwa kwa njia ya mail ama kwa kuchukua mwenyewe Ubalozini. 1. Mwomhaji ajaze fomu online kupitia www.imm ation. o.tz (e-services) 2. Aprint fomu yake na kuituma kwa mail ama kwa kuiwasilisha Uhalozini 3. Xkishapokelewa na kuingizwa na kuthihitishwa atatumiwa hill ya malipo kwa email 4. Risiti ya malipo itamwonyesha link ya kufanya malipo kwa njia ya mtandao S. Malipo Fake yakikamilika na kupokelewa ETD itatolewa 6. ETD husika atatumiwa kwa njia ya mail ama kwa kuchukua mwenyewe. NOTE: * Kwa Waombaji walio miji ya mbali lazima watume ‘ Kabla ya kajaza Toma Mwombaji ahakikishe |
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2JqHhvg
via

