Straika wa Bilioni 7 Aanza Mazoezi Timu Ahly, Simba Wajipange Hasa

Admin Updates1 year ago7 Views

 

Jana Septemba 12 Mshambuliaji raia wa Ufaransa Antony Modeste (35) Alijiunga Na wenzake Mazoezini kwa Ajili ya Maandalizi ya Mchezo wao dhidi Ya Usm Alger Utakaopigwa Saudia.

Modeste aliewahi kukipiga katika Klabu ya Borussia Dortmund amejiunga na miamba ya soka Afrika ya Al Ahly.

Al Ahly watakutana na Simba October 20 katika mchezo wa ufunguzi wa michuano ya African Super Cup.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...