
Katika hali inayoonyesha amekufa ameoza, nyota wa Bongo Fleva kutoka Kundi la WCB, Rajab Abdulhan maarufu kama Harmonize, ‘alichomeshwa mahindi’ kwa zaidi ya saa moja, akimsubiri mpenziwe, Jacquline Wolper aliyekuwa akila raha ndani ya pati katika Ukumbi wa Catalunya, uliopo Mwenge jijini Dar, Jumapili iliyopita.
Baadhi ya waigizaji waliokuwemo ndani ya ukumbi huo, walisikika wakisema kuwa Wolper alilalamika kuitwa na mpenzi wake Harmonize, aliyekuwa nje akimsubiri akimtaka waondoke, wakati mwenyewe alikuwa bado na hamu ya kuendelea kuponda raha.
Wakati mwanamuziki huyo akiendelea kusubiri, Wolper alikuwa akicheza na kupiga stori na baadhi ya mastaa wenzake huku akionekana kulalamika kwamba alikuwa akisubiriwa nje, hivyo wamuache aondoke.
“Jamani Harmonize atachukia sana, amekuja muda mrefu hebu niacheni niondoke, halafu unajua yule ana hasira sana,” alisikika akisema Wolper.
Nje ya ukumbi, baadhi ya watu waliokuwa nje, wakiwemo madereva wa bajaj, walisema wamemuona muda mrefu muimbaji huyo akiwa ndani ya gari bila kushuka, wakiamini anamsubiri Wolper.
“Jamani huyo Harmonize kweli kakamatika kabisa, hapa kaja zaidi ya saa moja kapaki gari tu nje, anampigia Wolper atoke lakini hatoki ndani,” alisikika akisema mtu mmoja aliyekutwa na paparazi wetu nje ya ukumbi, huku mwimbaji huyo wa kibao cha Matatizo akiwa ameshaondoka.
Baadhi ya waigizaji waliokuwemo ndani ya ukumbi huo, walisikika wakisema kuwa Wolper alilalamika kuitwa na mpenzi wake Harmonize, aliyekuwa nje akimsubiri akimtaka waondoke, wakati mwenyewe alikuwa bado na hamu ya kuendelea kuponda raha.
Wakati mwanamuziki huyo akiendelea kusubiri, Wolper alikuwa akicheza na kupiga stori na baadhi ya mastaa wenzake huku akionekana kulalamika kwamba alikuwa akisubiriwa nje, hivyo wamuache aondoke.
“Jamani Harmonize atachukia sana, amekuja muda mrefu hebu niacheni niondoke, halafu unajua yule ana hasira sana,” alisikika akisema Wolper.
Nje ya ukumbi, baadhi ya watu waliokuwa nje, wakiwemo madereva wa bajaj, walisema wamemuona muda mrefu muimbaji huyo akiwa ndani ya gari bila kushuka, wakiamini anamsubiri Wolper.
“Jamani huyo Harmonize kweli kakamatika kabisa, hapa kaja zaidi ya saa moja kapaki gari tu nje, anampigia Wolper atoke lakini hatoki ndani,” alisikika akisema mtu mmoja aliyekutwa na paparazi wetu nje ya ukumbi, huku mwimbaji huyo wa kibao cha Matatizo akiwa ameshaondoka.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






