Soma Taarifa hii mpya ya Msanii Rose Mhando

Admin Updates1 year ago5 Views

Meneja wa Msanii Maarufu wa Nyimbo za injili nchini Rose Mhando Bw.Abel Makalla amesema Msanii huyo anatarajia kuzindua albamu mbili  ambapo moja itakuwa na nyimbo zake zilizowahi kuweka rekodi na nyingine mpya ambapo albamu hiyo ya nyimbo za zamani ameipa jina la best of Rose Mhando pamoja na nyingine mpya inayoitwa Amefanya zitakazozinduliwa kwa pamoja hivi karibuni.

Makala amesema wapenzi na Mashabiki wa nyimbo za injili wakae tayari kwa mapokezi kwani albamu zote mbili zimekamilika na maandalizi yanaendelea vizuri hivyo watapewa taarifa kupitia vyombo vya habari kuhusu uzinduzi rasmi wa kazi hizo zinazosubiriwa kwa hamu na watu wengi.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.