Soma Hapa Mbinu mpya Zinazotumika Kuiba Watoto wadogo Mwanza

Admin Updates2 years ago6 Views

Kutokana na matukio yaliyokithiri ya wizi wa watoto wadogo mkoani Mwanza, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Wilbroad Mutafungwa amefichua mbinu zinazotumiwa na wahalifu hao kuwa ni kujenga ukaribu na wazazi wa watoto hao ili kupata uaminifu wao.

Matukio hayo ya wizi wa watoto wa siku moja hadi miezi sita yameripotiwa mara kwa mara huku watuhumiwa wakiripotiwa kuwa ni wanawake wasioweza kupata watoto kutokana na ugumba.

“Mbinu zinazotumika kuiba watoto ni wanawake wenye nia ovu kuwa karibu na wazazi na kuaminiwa na kuachiwa watoto na hivyo kupata mwanya wa kutoroka nao,” amesema Kamanda Mutafungwa.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.