SMZ YAPIGA MARUFUKU UINGIZWAJI NA UTUMIAJI WA MIFUKO YA PLASTIKI ZANZIBAR.

6 years ago63 Views

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed akizungumza na Waandishi wa Habari(hawapo pichani)kuhusiana na Kupiga marufuku Uingizwaji na Utumiaji wa Mifuko ya Plastiki amabayo inaonekana kuingizwa Nchini ikiwa na Rangi tofauti mkutano uliofanyika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar. 
Mwandishi wa Habari wa ZBC Swaumu Khamis akiuliza maswali katika Mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed kuzungumzia kupiga marufuku Uingizwaji na Utumiaji wa mifuko ya Plastiki amabayo inaonekana kuingizwa Nchini ikiwa na Rangi tofauti mkutano uliofanyika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed akisisitiza jambo wakati akijibu maswali ya Waandishi wa Habari(hawapo pichani)kuhusiana na Kupiga marufuku Uingizwaji na Utumiaji wa Mifuko ya Plastiki amabayo inaonekana kuingizwa Nchini ikiwa na Rangi tofauti mkutano uliofanyika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar. 
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed kuzungumzia kupiga marufuku Uingizwaji na Utumiaji wa mifuko ya Plastiki amabayo inaonekana kuingizwa Nchini ikiwa na Rangi tofauti mkutano uliofanyika ukumbi wa Juu wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2wrnjcJ
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.