Baada ya ivi karibuni staa aliyefanya vizuri kwenye movie ya CHAUSIKU,
shamsa ford kutangaza rasmi kuachana na aliyekuwa mume wake, kwa kigezo
kuwa mwanaume huyo alikuwa akimtesa na kumpiga kwa muda mrefu, uku
akimshutumu mwanaume huyo kutoijali familia yake zaidi ya marafiki na
starehe, kitu ambacho kimemfanya staa huyo ajiweke pembeni kuepusha
msongamano.
Siku chache baada ya staa huyo kutangaza rasmi kuachana na zilipendwa
wake huyo anayefahamika kwa jina moja la dickson, ivi sasa staa huyo
yupo kwenye mahaba mazito na mwana hip hop maarufu nchini, ney wa
mitego, ambapo kwa nyakati tofauti wameonekana wakiwa wote zero distance
, uku wakijiachia na mapicha kama ilivyo kawaida ya mastaa watafuta
kick.
Kitendo hicho kimewashtua kama sio kuwapandisha presha wapenda ubuyu wa mujini.
Udaku Specially Blog
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







