SHUHUDIA HUU MCHAPALO (KOCTAIL PARTY) BAADA YA RAIS MAGUFULI KULIHUTUBIA BUNGE MJINI DODOMA JANA

Admin Updates9 years ago6 Views

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Sophia Simba kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma, wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015. Picha na OMR

Waziri Mkuu wa awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, akizungumza jambo na Rais staafu wa awamu ya sita wa Zanzibar, Aman Abeid Karume, wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Waziri Mkuu mstaafu, Joseph Warioba wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

Rais Magufuli (katikati) akizungumza jambo na Rais wa Zanzibar, Mohamed Ali Shein (kushoto) na Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Mbunge wa Shinyanga mjini, Stephen Masele, wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma

Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza jambo na baadhi ya viongozi wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na mmoja kati ya wageni waalikwa wa Kimataifa, wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Vijana wa UVCCM, wakati wa hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa, Spika wa Bunge, Job Ndugai na Katibu wake, baada ya hafla fupi ya Coktail (Mchapalo) iliyofayika baada ya Rais Magufuli kulihutubia Bunge jana jioni Nov 20, 2015 kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.