Shaffih Dauda: Yafanyike Mageuzi Mpira Uongozwe na Wenye Sifa Uongozi wa Soka

Admin Updates3 months ago6 Views

 

Tanzania ina bahati ya kuwa na Ligi yenye ushindani na yenye mvuto wa kibiashara, kama hakuna mtu wa kusafisha hali ya sasa, mediocrity itaendelea kutawala.

Suluhisho linapaswa kuwa

• FIFA ichukue hatua kali kwa TPLB na mamlaka za soka nchini ( Wote wanaosimamia mpira)

• Yafanyike Mageuzi ya utawala wa soka na kuhakikisha viongozi wanakuwa na sifa rasmi za kiutawala hasa wa mpira ( Mpira uongozwe na watu wa mpira) Hii ni kuanzia Ngazi za Juu , Vilabu hadi chini kabisa.

• Vyombo vya habari virudi kwenye msingi wa kuhabarisha , kuelimisha , kukosoa, kuburudisha inapobidi na uchambuzi wa kweli badala ya ushabiki

• Mashabiki waache ushabiki wa kipofu na waweke shinikizo kwa mamlaka za soka kuboresha hali ya ligi

Kwa sasa, Tanzania imefika mahali ambapo mediocrity imehalalishwa—mashabiki, viongozi, vyombo vya habari, na hata baadhi ya wachezaji wanaishi ndani ya mfumo uliooza, lakini hakuna anayepiga kelele kwa nguvu ya kutosha.

Ni wakati wa kufanya mabadiliko, na hilo halitafanikiwa kama sote tutaendelea kufumbia macho uozo uliopo.

Mpira wa Tanzania unahitaji mabadiliko ya kweli—na sasa ndiyo wakati wa kufanya hivyo.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.