Shaffih Dauda; Golikipa Diarra Alistahili Kupewa Man of The Match.

Masama BlogMICHEZO5 months ago195 Views

Shaffih Dauda; Golikipa Diarra Alistahili Kupewa Man of The Match.

Kwenye mchezo wa Derby Man of the match amepewa Pacome lakini nafasi ya kupendekeza mchezaji aliyefanya vizuri zaidi mimi ningempa Diarra hiyo tuzo ya MOTM

Kipindi cha kwanza kaokoa 1v1 mbili , zile nafasi golie wa kawaida yote yale ni magoli lakini haikuwa hivyo kwa Diarra.

Kwa % kubwa uhai wa Yanga ulianzia kwake naweza kusema hivyo , saves zake zilifanya nyota wengine wazidi kumwaga jasho yaani unakimbiza mwizi ukiwa tayari una uhakika mageti yana lock

SOMA ZINGINE HAPA:

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.