RC Senyamule afunguka..asema ”DODOMA ni Mkoa wenye fursa Lukuki za Biashara” Soma zaidi Hapa…

Special Correspondent2 years ago5 Views

 




Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema mkoa wa Dododma ni mkoa wenye fursa nyingi na za aina mbalimba.RC Senyamule ameyasema hayo wakati wa ziara ya kukagua miradi ya kimkakati.Mmoja wa mradi ulitotembelewa ni pamoja na mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ya mwendo kasi  (SGR), ambapo Mkuu wa Mkoa amefahamishwa kuwa kipande cha Morogoro , Dodoma umekamilika kwa 91%.
(Msikilize Mkuu wa Mkoa akieleza fursa mbalimbali zitakazopatikana katika Moa wa Dodoma Hapa Chini)
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.