RC Senyamule amlilia Hayati Rais Mwinyi ,asema ametuachia mengi ya kujifunza kama Viongozi

Admin Updates1 year ago6 Views

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amesema Tanzania itamkumbuka kwa kuenzi mema na mazuri mengi yaliyofanywa na Rais wa awamu ya pili nchini Tanzania Hayati Ali Hassan Mwinyi aliyefariki Dunia wiki iliyopita na kuzikwa nyumbani kwake Kisiwani Unguja,Zanzibar 

Mhe.Senyamule pichani akiwa  na viongozi mbalimbali walioshiriki katika mazishi ya Hayati Rais Ali Hassan Mwinyi yaliyofanyika kwa itifaki za kitaifa alisema hakuna asiyejiu mchango wa Marehemu Rais Mwinyi katika nchi yetu.

“Kama mnavyofahamu nchi yetu imempoteza mmoja wa viongozi wake mahiri ambaye aliwahi kuwa Rais wa awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi ambapo kwetu kama viongozi lazima tuyaenzi maisha na mema aliyoyafanya mzee wetu huyu 

Alimalizia RC Senyamule huku akionekana mwenye Huzuni mjini Unguja.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.