Rais Samia: Hakuna wa kushika dola 2025 hapa

Admin Updates2 years ago7 Views

 “ Leo hapa tumejawa na furasa kwa sababu ya matunda ya mazungumzo na maridhiano. Ndugu zangu siasa ni mchezo wa mawazo na fikra, kulumbana kwa hoja, kuangalia amekosea wapi nimkosoe, nani kasema nini nimjibu naji defend (najibu hoja).”

“Kama alivyosema Mwenyekiti wa BAWACHA na Mwenyekiti Mbowe lengo ni kushika dola, na kwa sura nazoziona hapa hamna dhamira ya kushika dola, hamna…. mnajua Mama yupo.”

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...