Rais Samia Awapongeza Ramadhani Brothers Kwa Kushinda American Got Talent,Wapewa Dola 250,000

Admin Updates1 year ago5 Views

 

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza Wasanii wa sarakasi kutoka Tanzania Ibrahim na Fadhili Ramadhan wanaounda kundi la The Ramadhan Brothers ambao wameibuka Washindi wa mashindano ya kusaka vipaji ya ‘America’s Got Talent Fantasy League’, usiku wa kuamkia leo Nchini Marekani na kujinyakulia $250,000 (Tsh milioni 637.5) pamoja na tuzo ambapo amesema Vijana hao wanaitangaza Tanzania vizuri.
Rais Samia amesema “Pongezi kwa Vijana wetu Fadhili na Ibrahim (The Ramadhani Brothers) kwa kuibuka Washindi katika mashindano ya sanaa na burudani ya AGT: Fantasy League, safari yenu inaendelea kudhihirisha kuwa juhudi, nidhamu, kujituma na kujiamini ni nguzo muhimu kufikia mafanikio, mnaitangaza vyema Nchi yetu na kuweka mfano bora kwa wengine”

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.