Rais Ruto kumpa kazi Serikalini Mlinzi wa Raila

Masama BlogMATUKIOKIMATAIFA6 months ago289 Views

Rais Ruto kumpa kazi Serikalini Mlinzi wa Raila

Rais William Ruto amempongeza mlinzi wa waziri mkuu wa zamani Raila Odinga , Maurice Ogeta.

Akizungumza wakati wa hafla ya mazishi ya Raila katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Jaramogi Oginga Odinga (JOOUST) eneo la Bondo , Kaunti ya Siaya, Rais Ruto alimhakikishia Ogeta nafasi ya kufanya kazi na serikali yake.
Ruto alikumbuka jinsi Maurice angefuta viatu vyao baada ya kampeni wakati wa siku zake katika ODM.
“Lazima tuwashukuru watu wake wa usalama. Maurice Ogeta hasa, asante sana Maurice kwa kusimama na Raila siku zote, namkumbuka Maurice enzi zetu za ODM. Huyu Maurice aliwahi kutufuta viatu tulipochelewa kutoka kwenye kampeni. Maurice nataka niwaambie serikali tunapoangalia urithi wa Raila, nanyi pia mtasimama kumwangalia Raila aliyetembea na Babaga.”

Hatimaye Mjane Aliyetaka Kudhulumiwa Nyumba Dar Apewa Hati yake

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.