Rais Ruto kumpa kazi Serikalini Mlinzi wa Raila
Rais William Ruto amempongeza mlinzi wa waziri mkuu wa zamani Raila Odinga , Maurice Ogeta.
Akizungumza wakati wa hafla ya mazishi ya Raila katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Jaramogi Oginga Odinga (JOOUST) eneo la Bondo , Kaunti ya Siaya, Rais Ruto alimhakikishia Ogeta nafasi ya kufanya kazi na serikali yake.
Ruto alikumbuka jinsi Maurice angefuta viatu vyao baada ya kampeni wakati wa siku zake katika ODM.
“Lazima tuwashukuru watu wake wa usalama. Maurice Ogeta hasa, asante sana Maurice kwa kusimama na Raila siku zote, namkumbuka Maurice enzi zetu za ODM. Huyu Maurice aliwahi kutufuta viatu tulipochelewa kutoka kwenye kampeni. Maurice nataka niwaambie serikali tunapoangalia urithi wa Raila, nanyi pia mtasimama kumwangalia Raila aliyetembea na Babaga.”
Hatimaye Mjane Aliyetaka Kudhulumiwa Nyumba Dar Apewa Hati yake
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






