Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki (wa pili kulia) akiwa katika mazungumzo na Waziri Mstaafu, Prof. Mark Mwandosya, Balozi Mstaafu Juma Mwapachu (kulia) pamoja na Balozi Mstaafu Ami Mpungwe walipokutana jijini Dar es salaam hivi karibuni. wa pili kushoto ni Max Boqwana, Afisa Mtendaji Mkuu wa Thabo Mbeki Foundation.
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2jXHtbN
via

