Mmoja wa Wakazi wa Dar es Salaam eneo la Kitunda akipambana kupitisha mkokoteni wake kwenye barabara ambayo imejaa maji kama anavyoonekana,Hali hii ya barabra kutopitika ipo kwa sehemu kubwa kwa barabara za pembezoni ambazo zimeharibiwa na mvua zinaendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2HsiZ34
via

