Museveni (Uganda), Paul Kagame (Rwanda) na Uhuru Kenyetta wa Kenya,
wanadaiwa kuanzisha umoja wa hiari, huku wakifanya vikao vya siri na
kuitenga Tanzania.
Mwapachu alisema amewahi kuandika mambo mbalimbali juu ya EAC na dalili
za kutokea migogoro inayotokea sasa, lakini hakuna hatua zilizochukuliwa
za kudhibiti.
ni mahali gani alitoa ushauri upi kuhusu jumuiya hiyo, zaidi ya
kusisitiza kuwa amechoshwa na migogoro ya chombo hicho.
nimeshaandika sana, nimeshauri sana, na sasa nimechoka, siwezi tena
kusema lolote,” alisema Balozi Mwapachu, bila kufafanua zaidi na baadaye
kukata simu.
na kinachotokea ndani ya EAC, dalili za wazi za kuvunjika kwa jumuiya
hiyo zimeanza kuonekana.
kuweka mikakati ya siri bila kuzishirikisha nchi za Tanzania na Burundi,
ambapo mapema wiki hii, walimwalika Rais wa Sudan Kusini, Silva Kiir,
kwenye mkutano wao.
wa Bunge la Tanzania wanaoendelea na kikao chao mjini Dodoma na
kushinikiza wapewe ufafanuzi wa kinachoendelea.
Same Mashariki, Anne Kilango, alisema jumuiya hiyo ipo hatarini
kuvunjika na kutaka Tanzania isiendelee na shughuli nyingine yoyote
inayoihusu jumuiya hiyo, hadi pale hatima yake itakapojulikana.
Ahmed, naye aliitaka serikali kupeleka bungeni pendekezo la kujitoa
katika jumuiya hiyo, ili wabunge walipitishe.
Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, alisema Tanzania imeanza
mazungumzo na nchi za Burundi na Congo DR, kuangalia namna ya kuwa na
ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo.
haiwezi kuamua lolote kwa sasa, hadi itakapopata taarifa ya kina kuhusu
mikutano ya mara kwa mara inayofanywa na viongozi wa nchi tatu za
jumuiya hiyo.
ambao hawakuishirikisha Tanzania, ulifanyika ghafla Entebbe (Uganda),
Juni, mwaka huu, ukafuatiwa na mkutano wa Mombasa (Kenya) Agosti 28 na
juzi wakuu hao walikutana Kigali, Rwanda.
wabunge juzi, Waziri Sitta alisema Tanzania haiwezi kupewa talaka katika
jumuiya hiyo, kwa kuwa ina eneo la zaidi ya asilimia 52 ya eneo zima la
EAC na asilimia 48 iliyobaki nchi nyingine zinagawana.
Uganda na Rwanda hawajaanzisha rasmi jumuiya yao, dalili zinaonesha kuwa
wapo katika harakati ambazo hatima yake haijulikani.
unaofukuta ndani ya jumuiya hiyo umewalazimisha wadau mbalimbali wa
uchumi na siasa nchini kuitaka serikali kuachana na EAC na kuelekeza
nguvu zake zaidi katika Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa
Afrika (SADC).Chanzo: mtanzania