Muuza Saa aandika Maneno Mazito Kuhusu Jerry Silaa

Masama BlogSIASAMATUKIO3 months ago249 Views

Pichani ni moja ya Picha ya kukata (Sreenshot) ya ukurasa wa Mtandao wa kijamii wa Instagram wa mmoja wa wauza saa Nchini ikiwaonyesha wanasiasa Vijana Nchini walipohudhuria uzinduzi wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi Taifa uliofanyika 28/08/2025 viwanja vya Tanganyika Packers -Kawe Jijini Dar es Salaam ambao uzinduzi huo Ulioongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa Urais Kupitia CCM Dkt Samia Suluhu Hassan,ambapo nao pia ni wagombea Ubunge kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika majimbo mawili tofauti na hawa ni Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga Jijini Dar es Salaam (Ndg.Jerry Silaa) na Mgombea Ubunge jimbo la Mtumba Jijini Dodoma (Ndg.Anthony Mavunde)

Ikumbukwe Jerry Silaa na Anthony Mavunde ni Moja ya Viongozi makini walioshika nyadhifa mbalimbali katika serikali ya Mhe Dkt Samia ambapo pia wao ni Moja ya viongozi waliowahi kupitia Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa.

Masama Blog inawatakia kila la Heri Viongozi hawa kuelekea kampeni Majimboni mwao kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani Utakaofanyika tarehe 29/10/2025.

SOMA HIZI:

STAMICO yakabidhiwa Leseni Kubwa ya Utafiti na Uchimbaji Madini adimu Morogoro

Jerry Silaa achukua fomu kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Ukonga

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...