Wanaume wengi wanatumia sababu mbalimbali ili kukwepa majukumu kama Baba kwa sababu wanaongea na wako proud wanasema Yule ni Mtoto wangu tu atanitafuta akikua. Sio kauli nzuri”
“Baada ya Ngoma ya Mr. Politician nilipotea kwa sababu kuna vitu vingi Sana vilitokea. Nilihama Dar es Salaam nikahamia Arusha na kujaribu vitu vingine. Arusha ni nyumbani. Nilipata ujauzito ikabidi nikubali hiyo kofia ya umama sasa. Kazi ya Sanaa inahitaji Sana muda na muda Wenyewe ni usiku na ukiwa mama ni ngumu kufanya hiyo kazi ya Muziki na hasa ukiwa ndio inaanza kulea na uzao wako wa kwanza”
“Kila mtu ana sababu yake na kupelekea kuwa Single Parent sidhani kama asilimia kubwa ya Wanawake wanataka wawe single parent lakini inatokea na bahati nzuri au mbaya Mimi ilinitokea mapema sana kwenye ujauzito wangu mwanzoni kwahiyo zile changamoto niliziona mwanzoni, nikakuwa nazo mpaka nikapona” @nakaayasumari, Msanii
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







