Mchambuzi Shaffih Dauda asema “Kocha Robertinho Hakupashwa Kufukuzwa na Simba”

Admin Updates1 year ago4 Views

 

Mara nyingi naamini matokeo bora ya timu ni mchanganyiko wa uwajibikaji wa wahusika wote kuanzia bodi ,menejimenti ,benchi la ufundi ,wachezaji na wengine mfano mashabiki
Mfano kutoka kwa kiongozi wa juu kuja chini ukaangalia mfumo je upo sawa ? Rais wa heshima ana mchango gani ? anakutana na bodi wakati gani ? bodi ifanye nini ? hivyo hivyo kuja chini hadi kwa watu walio nje
Juzi Rais wa heshima alisajili timu nyingine ya watu ambao ni nje ya timu
Uongozi ulioshinda na kuingia madarakani sidhani kama ulikuwa unapata sapoti
Ni vitu vingi ambavyo kwa jicho la kawaida havionekani lakini vina mchango mkubwa sana, football ni team game not an individual game ( mpira ni mchezo unaohusisha timu / umoja na sio mtu mmoja mmoja
Mkishinda mnashinda wote na mnafungwa wote mfano zoezi la kuvaa medali linakupa picha halisi ya kuona kuna wakina nani nyuma ya wachezaji kama timu
Mimi kama Dauda siamini kama Robertinho anatakiwa kufukuzwa ,ukija head to head Robertinho na Yanga kashinda mechi moja ,sare mechi moja na kafungwa mechi moja na hiyo sare bado alipata ubingwa (ngao)

Inawezekana kuna sababu zingine ambazo hawawezi kuzitaja ,ndio maana taarifa inasema makubaliano ya pande mbili
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.