MAPENZI: JE MWENZA WAKO ANATABIA KAMA HIZI? BASI JUA 80% ANACHEPUKA

Admin Updates10 years ago5 Views

Kama mke wako, demu wako au side chick wako ana tabia zifuatazo, amesha-cheat kwako au ipo siku ataku-cheat.
MAHUSIANO


1) Ana boreka haraka 
Wanawake wanaoboreka haraka nirahisi kutafuta mwanaume mwingine wa
kum-entertain, muda sio mrefu huyo mwanaume atachoka kum- entatain
rafiki asiye na faida na ndio hapo atakapo anza kudai faida zake na
wanaishia kuwa friends with benefits.


2) Marafiki wengi wa kiume 
Mwanamke mwenye marafiki wengi wa kiume ni rahisi ku- cheat kwasababu
anapata muda mwingi wa kuongea na wanaume wengine, watamsifia
anavyopendeza, kama wewe unamwambia amependeza mara moja kwa wiki basi
wenzako watamwambia anapendeza kila wanapoonana. Wataabza kumtoa out na
mwisho wake ataona hao wanaume wamanjali kuliko wewe na kulala nao.


3) Anapenda attention 
Wanawake wanaopenda attention ni rahisi kudanganyika. Wanaume wengi hasa
ambao hawataki kuwa committed kwenye mahusiano yoyote wanatoa sana
attention kwa wanawake. Mwanamke anayependa sana attention hawezi
ridhishwa na attention ya mwanaume mmoja.


4) Anapenda vitu “material things” 

Wanawake wengi wanaopenda material things wanashindwa kupata kila kitu
kutoka kwa waume zao au maboyfriend zao na kuishia kutafuta mwanaume
mwingine ambaye ana uwezo wa kumnunulia vitu anavyotaka ili awatese
wenzake kwenye instagram.

5) Ana marafiki ambao ni michepuko 

Umeshasikia usemi kuwa ndege wanaofanana huruka pamoja, hata kama demu
wako hana tabia ya ku-cheat, akiwa anakaa sana na marafiki ambao
wana-cheat na yeye atashawishika kujaribu. Kama mke wako au demu wako
ana kupigia story za marafiki zake wanao-cheat mwambie aachane nao
haraka sana.



6) Anapenda kufanya ngono kuliko wewe 

kila mkimaliza kufanya tendo la ndoa mwenzako anakwambia anataka tena,
na wewe humtimizii basi lazima tatafuta serengeti boy ambaye
anamsikiliza na kumpa anachotaka.



7) Anaujuzi kitandani kuliko wewe 



Wewe kama umeshawahi kuingia kwenye dancing floor na kucheza na mtu
ambaye anajua kucheza kuliko wewe, unasubiria tu wimbo ukiisha ukakae
chini kabla hujaaibishwa, au kama wewe ndio unayejua kucheza vizuri
utatafuta mtu mwingine anayejua kucheza kama wewe. Kwenye tendo la ndoa
ni hivyo hivyo kama mwenzako ana ujuzi kuliko wewe, inabidi ufanye
mazoezi ufikie kwenye ujuzi wake la sivo muda sio mrefu atasubiri wimbo
ukiisha akakae chini au atafute mtu mwingine anayejua kucheza kama yeye.

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.