Makamu wa Rais Mstaafu ataka ulinzi kwa Mtoto wa Kiume,ataja Sababu ni hizi hapa

Admin Updates1 year ago4 Views

 

Na Sophia Kingimali

MAKAMU wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Phumzile Mlambo Ngeuka amewataka wanaharakati wa kifeminia nchini kujikita katika kuelimisha kuhusu ulinzi wa mtoto wa kiume kwa mustakabali wa haki na usawa wa jinsia huku akitoa rai kwa wazazi kuanza kukomesha mfumo dume kuanzia ngazi ya familia.

Amesema ipo haja ya kuwa na majukwaa ya wanaume nchini yenye kueleza yanayowahusu lakini pia kujikita na kuchukua hatua za kupinga ukatili wa kijinsia, wanaopinga ubaguzi dhidi ya wanawake na wanaokataa ndoa za utotoni.

Phumzile amesema hayo novemba 7,2023 jijini Dar es Salaam katika tamasha la 15 la jinsia pamoja na kuadhimisha miaka 30 ya kifeminia la Mtandao wa jinsia nchini (TGNP).

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.