MAJALIWA AIKABIDHI AZAM KOMBE LA UBINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM

6 years ago71 Views

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi kikombe cha Ubingwa wa Shirikisho la Azam (ASFC), nahodha wa Azam, Aggrey Moris baada ya Azam kuifunga Lipuli 1-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa kwenye uwnja wa Ilulu mjini Lindi Juni 1, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri )
Mshambuliaji wa Azam, Donald Ngoma akichanja mbuga kuelekea lango la Lipuli huku akizongwa na mlinzi wa Lipuli Haruna Shamte katika mechi ya fainali ya mashindano ya Shirkisho la Azam kwenye uwaja wa Ilulu mjini Lindi Juni 1, 2019. Azam ilioshinda 1-0. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkiuu)
Mshambuliaji wa Azam, Obey Chirwa akimtoka Mlinzi wa Lipuli N. Lufunga katika mechi ya fainali ya ubingwa wa mashindano ya Shirikisho la Azam iliyochezwa kwenye uwanja wa Ilulu mjini Lindi Juni 1, 2019. Azam ilishinda 1-0. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/313Y8v4
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.