Kuna ule usemi kuwa mume wa mtu ni Sumu, Lakini wadada wa mjini wamegeuza iyo kauli na wanaseme
“Kama mume wa mtu ni sumu basi wao wana maziwa” Hizi ni kauli za baadhi
ya wadada wa mjini wasiotaka kuolewa na kuona ufahari kutoka na madume
ya watu. Hakuna faida yoyote ya kutembe na mume wa mtu zaidi ya kuja
kufanywa kitu mbaya siku moja ukaiona dunia chungu.