Mahakama yamuachia huru Mdude wa CHADEMA,Soma Hapa
Mahakama yamuachia huru Mdude wa CHADEMA,Soma Hapa
4 years ago168 Views
Share
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Mbeya,leo June 28,2021, imemuachia huru kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyangali maarufu kama “mdude chadema” aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya dawa za kulevya.