MAHAFALI YA KUMI NA TATU (13) YA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM (DIT) YAFANA

6 years ago85 Views


 Wahitimu wa wakimsikiliza Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa wakati akiwahutubia kwenye mahafali ya 13 Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kwenye mahafali ya 13 katika viwanja  vya  Taasisi hiyo leo.

Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa  akiwahutubia Wahitimu  wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kwenye mahafali ya 13  katika viwanja  vya  Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Kushoto ni Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Prof Preksedis Ndomba,  akiteta jmbo na Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa na mwisho ni Mwenyekiti wa Baraza la DIT, Prof Apollinalia Pereka.

 Mathias Shayo akimpa mwanae Morgan shada la ua alipokuwa akimpongeza kwa kuhitimu shahada ya uhandisi umeme katika chuo cha DIT jijini Dar es Salaam.
 Mary Sambaya ambaye ni mama mdogo wa Morgan Shayo akimpa zawadi mwanae alipokuwa akimpongeza kwa kuhitimu uhandisi umeme katika chuo cha DIT jijini Dar es Slaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2EdzpKr
via

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.