LINAH SANGA ADAI PENZI LAKE NA MGANDA KAKA YAKE ZARI NI IMARA ZAIDI YA SARUJI..MSIKIE ZAIDI MWENYEWE HAPA

Admin Updates9 years ago6 Views

Hitmaker wa Ole Temba, Linah Sanga amesema uhusiano wake na raia wa Uganda, Williams Bugeme ni imara zaidi ya vile wengi wanavyodhani.

Linah ameiambia Bongo5 kuwa uvumi kuwa tayari wameachana na mpenzi wake huyo, umetokana na kuonekana kutokuwa naye karibu kama zamani.
“Mimi nashangaa watu wanataka nini?” amehoji. “Watu wanafikiri mimi na mpenzi wangu tunaweza kuachana kirahisi! Sisi tunapendana kweli. Sema sasa hivi tumeamua kuacha kuweka picha zetu mara kwa mara kwenye mitandao, ila sisi tupo poa na kila mtu anaendelea vizuri
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.