KWA HERI DKT. REGINALD MENGI……

Special Correspondent6 years ago90 Views

 Sehemu ya waombolezaji wakiwa ndani ya kanisa la kiinjili la Kilutheli (KKKT) usharika wa Moshi, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa Dkt Reginald Mengi zinazoendelea hivi sasa.
 Familia ya Marehemu Dkt Reginald Mengi ikiwa ni yenye huzuni kubwa kwa kuondokewa na mpendwa wako, wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake inayoendelea hivi sasa katika katika la kiinjili la Kilutheli (KKKT) usharika wa Moshi.

Nje ya kanisa hivi ndivyo hali ilivyo wakati watu mbalimbali wakiendelea na zoezi la kuaga mwili wa Dkt Reginald Mengi katika kanisa la kiinjili la kilutheli usharika was Moshi mjini.

from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2LLof6r
via

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.