Sehemu ya waombolezaji wakiwa ndani ya kanisa la kiinjili la Kilutheli (KKKT) usharika wa Moshi, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa Dkt Reginald Mengi zinazoendelea hivi sasa.
Familia ya Marehemu Dkt Reginald Mengi ikiwa ni yenye huzuni kubwa kwa kuondokewa na mpendwa wako, wakati wa shughuli ya kuaga mwili wake inayoendelea hivi sasa katika katika la kiinjili la Kilutheli (KKKT) usharika wa Moshi.
Nje ya kanisa hivi ndivyo hali ilivyo wakati watu mbalimbali wakiendelea na zoezi la kuaga mwili wa Dkt Reginald Mengi katika kanisa la kiinjili la kilutheli usharika was Moshi mjini.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2LLof6r
via