Kelvin John Atupia Mawili Kombe la FA Denish CUP
Mshambuliaji wa Tanzania, Kelvin John ‘Mbappe’ amefunga magoli mawili wakati timu yake ya Aalborg (Aab Fc) ya Denmark ikiibuka na ushindi wa 6-1 dhidi ya Marstal/Rise IF kwenye mchezo wa raundi ya pili wa kombe la FA (Denish Cup Sec)
Kwa ushindi huo Aab Fc ambayo inashiriki Ligi daraja la pili Nchini Denmark imetinga hatua ya 16 bora ya michuano hiyo.
Marstal/Rise 1-6 Aalborg Fc
⚽ 67’ Mikkelsen
⚽ 01’ Helenius
⚽ 33’ Helenius
⚽ 36’ Kelvin John
⚽ 57’ Kelvin John
⚽ 65’ Hansen
⚽ 71’ Ross
SOMA HIZI:
Haji Manara Afunguka Kurejea Tena Kuwa Msemaji wa Simba
Dkt.Emmanuel Nchimbi: Tutaendalea Kuwachukua Wapinzani Wenye Akili Kuja CCM
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 - Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33