
Kawaida,Jokate na Mwakitinya Wahudhuria Kikao Cha Kamati ya Utekelezaji

Jana 20/08/2025 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ng.Mohamed Kawaida,Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndg.Jokate Mwegelo pamoja na Naibu Katibu Mkuu UVCCM Tanzania Bara Ndg.Musa Mwakitinya wakisalimiana kabla ya kuanza ka kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UVCCM Taifa kilichoongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Jijini Dodoma jana.
Chama ni Vikao 💪🏽
SOMA HII HAPA: Huyu ndiye Jokate Mwegelo,Kiongozi,Mwanasiasa na Mwanamke Shupavu






