KAMPENI LEO: Kuhusu Kupiga Kura Ukonga Wameamua hivi

Masama BlogSIASA7 months ago228 Views

Kuhusu Kupiga Kura Ukonga Wameamua hivi

Wananchi wa Jimbo la Ukonga wameandika Maneno haya kuhusu Mgombea Urais Wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassana na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ukonga Jijini Dar es Salaam Ndg.Jerry Silaa

Kwa Kifupi Wanasema Jimbo la Ukonga wameshaamua na

OKTOBA TIKI NI TATU Tu…

Dkt Samia Suluhu Hassan,

Jerry Silaa na

Kenneth Malawa

Mgombea ubunge Jimbo la Ukonga Ndg Jerry Silaa akipata Chakula Cha mchana kwa mmoja wa Wajasiriamali wa Jimbo la Ukonga ambaye ni Mama Lishe maarufu kama mama ntilie wakati akiendelea na Kampeni za Ubunge Kuomba ridhaa ya Kuongoza tena jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM kwenye moja ya kata za Ukonga jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi HAPA

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.