
Kuhusu Kupiga Kura Ukonga Wameamua hivi
Wananchi wa Jimbo la Ukonga wameandika Maneno haya kuhusu Mgombea Urais Wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassana na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ukonga Jijini Dar es Salaam Ndg.Jerry Silaa
Kwa Kifupi Wanasema Jimbo la Ukonga wameshaamua na
OKTOBA TIKI NI TATU Tu…
Dkt Samia Suluhu Hassan,
Jerry Silaa na
Kenneth Malawa

Mgombea ubunge Jimbo la Ukonga Ndg Jerry Silaa akipata Chakula Cha mchana kwa mmoja wa Wajasiriamali wa Jimbo la Ukonga ambaye ni Mama Lishe maarufu kama mama ntilie wakati akiendelea na Kampeni za Ubunge Kuomba ridhaa ya Kuongoza tena jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM kwenye moja ya kata za Ukonga jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi HAPA






