Jeshi Lazima Jaribio la Mapinduzi Dhidi ya Kapteni Traore

Admin Updates1 month ago6 Views

                             Jeshi Lazima Jaribio la Mapinduzi Dhidi ya Kapteni Traore

Maafisa kadhaa wa Jeshi walikamatwa kufuatia uvumi kuhusu Mapinduzi yaliyopangwa dhidi ya Kiongozi wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore ambaye alichukua madaraka mwaka wa 2022.

Hii imezua hali ya wasi wasi miongoni mwa Wanajeshi, duru zinasema huku wafuasi kadhaa wa jeshi hilo wakiwashutumu Wanajeshi walio uhamishoni.

Kamanda wa zamani wa haki za kijeshi,Frederic Ouédraogo ni miongoni mwa maafisa waliokamatwa. Traore alibadilisha haraka maafisa waliokamatwa bila kutaja idadi yao.

Maafisa kadhaa wakuu wa Kijeshi tayari wamebadilishwa na Kapteni Ibrahim Traore ambaye ni Rais wa mpito wa nchi hiyo ingawa idadi kamili ya waliokamatwa bado haijafahamika.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.