Maafisa kadhaa wa Jeshi walikamatwa kufuatia uvumi kuhusu Mapinduzi yaliyopangwa dhidi ya Kiongozi wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore ambaye alichukua madaraka mwaka wa 2022.
Hii imezua hali ya wasi wasi miongoni mwa Wanajeshi, duru zinasema huku wafuasi kadhaa wa jeshi hilo wakiwashutumu Wanajeshi walio uhamishoni.
Kamanda wa zamani wa haki za kijeshi,Frederic Ouédraogo ni miongoni mwa maafisa waliokamatwa. Traore alibadilisha haraka maafisa waliokamatwa bila kutaja idadi yao.
Maafisa kadhaa wakuu wa Kijeshi tayari wamebadilishwa na Kapteni Ibrahim Traore ambaye ni Rais wa mpito wa nchi hiyo ingawa idadi kamili ya waliokamatwa bado haijafahamika.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







