Yanga wameanza mapema kukifanyia maboresho kikosi chao kuelekea msimu ujao, baada ya kupiga hodi kuulizia huduma ya kiungo mkabaji, James Akaminko kama mbadala mpya wa nyota wao, Khalid Aucho ambaye umri umemtupa sana.
“Nimesikia taarifa hizo, lakini siwezi kueleza chochote bali uongozi wangu (Azam) ndio unajua kila kitu. Kazi yangu ni kucheza soka na naendelea kupambana ili kuhakikisha timu inafikia malengo hayo mengine sio kazi yangu kuyazungumzia,” alisema Akaminko.
Alipoulizwa kama anaweza kujiunga na Yanga, alisema hawezi kuzungumzia, ila anahisi kwamba itakuwa ngumu kwake kwa vile maslahi anayopata Azam ni mazuri zaidi kuliko ofa ya Yanag na pia kiu yake ni kuitumikia kwa muda mrefu na kuipa mafanikio Azam kwa kitendo cha kuaminiwa na kumpa maslahi bora.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







