Mpaka sasa SIMBA imesajili na kuwatangaza wachezaji 8 ambao ni Jonathani sowah , kante, rushine,bejaber,mligo, semfuko,morice ,naby camara,ni maema pekee bado ajatangazwa jumla dirisha hili kubwa SIMBA atakuwa amesajili wachezaji 9 tu
Upande wa AZAM FC mpaka sasa wamesajili wachezaji 10 ambao ni ziotun , fofana ,kanoute,manyama, kitambala, himidi,dialo, malima, lawi ,manula,huku mmoja akiwa ajatangazwa jumla watakuwa wamesajili wachezaji 11 kwenye dirisha hili kubwa
Upande wa Tatu mpaka sasa wamesajili na kuwatangaza wachezaji 10 ambao ni chikola ,Edmund, Zimbwe jr ,Ecua, Conte, kouma, Boyeli, Doumbia, Ninju, Casemiro, huku mmoja akiwa ajatangazwa kwa ujumla dirisha hili kubwa watakuwa wamesajili wachezaji 11
Ukiangalia kwa makini utajua kuna timu imesajili kwa malengo na mahitaji ya timu alafu kuna watu wamekusanya tu wachezaji ili tu waonekane wamesajili “
By Mchambuzi Jemedari Saidi
SOMA HII: AU Yataka Ramani Sahihi ya Dunia Itumike,Wasema ya Sasa Inaidogodisha Afrika
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






