Je Wajua? Hakuna Kocha Muingereza aliewahi kushinda EPL

1 year ago144 Views

 Je Wajua? Hakuna Kocha Muingereza aliewahi kushinda EPL

Je Wajua? Ni ukweli mchungu lakini hauna budi kusemwa, ni hivi licha ya historia yao kwenye ulimwengu wa soka duniani, na majivuni mengi waliyonayo waingereza linapokuja swala la kandanda, lakini hakuna kocha muingereza (English manager) aliyewahi kunyakua taji la Ligi Kuu (Premier League).

Waliowahi kufanya hivyo na;

WASKOTISH 2 (Alex Fergusson, Kenny Dalglish)

WAITALIANO 4 (Conte, Ancelloti, Ranieri, Manchini)

MHISPANIA 1 (Pep Guardiola)

MRENO 1 (Jose Mourinho)

MCHILE 1 (Manuel Pellegrini)

MFARANSA 1 (Arsene Wenger)

MJERUMANI 1 (Jurgen Klopp)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.