“Maandishi ya uwongoo yananiharibia sana
huusianao wangu plz stok na msani yoyote Tanzania wala nyege zangu
azimalizwi na msani yoyote Tanzania nina mwanaume wangu namuheshimu
ananiheshimu na sipo kuweka mahusiano yangu hadharanii wala mitandaoni
Maana nimtu na heshima zake.. nimeumwa na nyoka mara ya kwAnza so ata
jani likinigusa ninashtuka kikubwa sina mapenz ya matangazo wala
mitandaoni stak kuandikwa kwa lolote lisilolaukweli ..nawewe unaefurah
me kuandikwa nawewe ikiwa ukweli unaujua kma niuwongo jua kuwa
unaniharbia kwa walinizunguka cc wazazi wangu na Mahusiano yangu ..” Mwisho wa kunukuu
Jamani, kiukweli hatujui Wamemfanya nini Jacquiline Wolper wetu, ila
mwenye “ubuyu” kamili wa kilichotokea tunaomba atufahamishe kupia
comments hapo chini maana namba ya Jack tunayompigia ili atupe ukweli wa
mambo haipatikani…
Kizuri share na wenzako