Jamaa Wadaiwa Kumuua Ndugu Yao na Kumdumbikiza Shimo la Choo Kisa Mali

Admin Updates4 months ago7 Views

 

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia Watuhumiwa wawili Fred Rajabu Chaula na Bashir Richard Chaula kwa tuhuma za kula njama na kumuua Regina Rajabu Chaula mwenye miaka 62 Mkazi wa Bahari Beach Wilaya ya Kinondoni na nchini Denmark.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam SACP Jumanne Murilo amesema kuwa Mwanamke huyo alikuwa na kesi za madai Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi dhidi ya Watuhumiwa na Watu wengine na alipotea ghafla na hakuonekana tangu December 13, 2024.

Amesema baada ya ufuatiliaji wa kina katika maeneo mbalimbali na Watu Makachero wa Polisi walilazimika kubomoa shimo la maji machafu ambalo lipo karibu na nyuma aliyokuwa anaishi marehemu na kukuta mwili wa Regina ukiwa umeanza kuharibika.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.