Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amewaongoza vijana wa rika mbalimbali katika mashindano ya mbio za Dassani Marathon KM 21, KM 10 na KM 05 zilizofanyika jijini Dar es salaam, huku wengine kadhaa wakijinyakulia zawadi kwa kuibuka washindi kwenye mbio hizo.
from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2Y1LSZX
via

