Angalia Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza / Form One 2024

Admin Updates1 year ago6 Views

Mwanza. 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mohamed Mchengerwa ametangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule mbalimbali za Serikali nchini mwaka wa masomo 2024.

Angalia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza HAPA

Majina hayo yanajumuisha ya wanafunzi waliochaguliwa kwenda kusoma shule za sekondari za bweni, vipaji maalum na kutwa za Serikali.

Mchengerwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa, wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga shule za kutwa wanaripoti shuleni ifikapo Januari 8, 2024 huku waliochaguliwa shule za bweni wakitakiwa kuripoti ifikapo Januari 6, 2024.

Waziri huyo amesema hayo leo Jumapili, Desemba 17, 2023, jijini Mwanza alipozungumza na waandishi wa habari. 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.