Haya hapa Majina ya Wachezaji Wote wa Yanga Waliosajiliwa CAF 2023/24

Admin Updates1 year ago6 Views

 

Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa majina yote na nafasi zote ambazo ziliainishwa kwenye ripoti ya aliyekuwa kocha wao, Nasreddine Nabi, majina ambayo yamepitishwa na kocha wao mpya, Miguel Gamondi.

Dirisha la CAF limefungwa jana Julai 31, 2023 lakini dirisha la TFF bado liko wazi kama kocha atahitaji tumuongezee mtu tutafanya hivyo.

Yanga imesajili majina haya (CAF).

Makipa 

  •  Djigui Diarra – Mali 
  • Metacha Mnata – Tanzania 
  • Aboutwalib Mshery – Tanzania

Mabeki wa pembeni 

  • Yao Attohoula – Ivory Coast 05 
  • Kibwana Shomari – Tanzania 06
  • Joyce Lomalisa – Congo 
  • Nickson Kibabage – Tanzania

Mabeki wa kati 

  • Gift Fred – Uganda 
  • Bakari Mwamnyeto – Tanzania 
  • Ibrahim Bacca – Tanzania 
  • Dickson Job – Tanzania

Viungo 

  •  Pacome Zouzoua – Ivory Coast 
  • Zawadi Mauya – Tanzania 
  • Mudathir Yahya Abbas – Tanzania 
  • Khalid Aucho – Uganda 
  • Salum Abubakar Sureboy – Tanzania 
  • Jonas Mkude – Tanzania 
  • Stephane Aziz Ki – Burkina Faso

Mawinga 

  • Skudu Makudubela – Afrika Kusini 
  • Faridi Mussa – Tanzania 
  • Maxi Mpia Nzengeli – Congo Dr 
  • Jesus Moloko – Congo Dr 
  • Denis Nkane – Tanzania

Washambuliaji 

  •  Crispin Ngushi – Tanzania 
  • Clement Mzize – Tanzania 
  • Kennedy Musonda – Zambia 
  • Hafiz Konkoni – Ghana

Kikosi kamili 23/24 

Wachezaji wazawa — 15

 Wachezaji wa kigeni — 12.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.