HAWA NDIO MASTAA WANAOSHIRIKI KWENYE TUZO ZA WATU TANZANIA

Admin Updates10 years ago5 Views



Tuzo za Watu 

Na Paul Chengula

Ni
tuzo mpya Tanzania ambapo mwaka huu 2015 zinatolewa kwa mara ya pili na
itakua ni Ijumaa ya May 22 2015 Hyatt Regency Hotel ambapo za mwaka huu
zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio,
televisheni na blogs.

Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya
kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki
washiriki watatu katika kila kipengele ambapo  kila mshindi atapokea
tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.

Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla hiyo
itasindikizwa na burudani moto moto kutoka kwa wasanii watakaotangazwa
hapo baadaye. Hakuna kiingilio kwenye tuzo hizo bali itatolewa mialiko
kwa baadhi ya watu kwenye tasnia ya burudani na zingine nchini. Pia
mialiko 100 itatolewa  kwa wananchi waliopiga kura zaidi.
Haya ndio majina yaliyoingia kwenye fainali ya tuzo za watu:
Mtangazaji wa redio anayependwa

D’Jaro Arungu – TBC FM – TZW1C

Maryam Kitosi – Times FM – TZW1D

Millard Ayo – Clouds FM – TZW1E
Kipindi cha redio kinachopendwa 

Amplifaya – Clouds FM – TZW2B

Hatua Tatu – Times FM – TZW2C

Papaso – TBC FM – TZW2D
Mtangazaji wa runinga anayependwa

Abdallah ‘Dullah’ Ambua – EATV – TZW3A

Salama Jabir – EATV/Maisha Magic – TZW3B

Salim Kikeke – BBC Swahili – TZW3C
Kipindi cha runinga kinachopendwa

In My Shoes – EATV – TZW4B

Mkasi – EATV – TZW4C

Planet Bongo – EATV – TZW4D
Blog/Website inayopendwa 

Hassbabytz.com – TZW5C

Millardayo.com – TZW5D
timesfm.co.tz – TZW5E
Muongozaji wa video anayependwa

Adam Juma – TZW6B

Hanscana  – TZW6D

Nisher – TZW6E
Muongozaji wa filamu anayependwa

JB – TZW7A

Leah Mwendamsoke – TZW7B

Vincent ‘Ray’ Kigosi – TZW7D
Muigizaji wa kike wa filamu anayependwa 

Jacqueline Wolper – TZW8C

Riyama Ally – TZW8D

Wema Sepetu –
Muigizaji wa kiume wa filamu anayependwa 

Hemedy PHD – TZW9A

JB – TZW9B

King Majuto – TZW9C
Mwanamuziki wa kike anayependwa TZW10

Lady Jaydee – TZW10A

Linah – TZW10B

Vanessa Mdee – TZW10E
Mwanamuziki wa kiume anayependwa

Alikiba – TZW11A

Barnaba – TZW11B

Diamond Platnumz – TZW11C
Filamu inayopendwa 

Chausiku – TZW12A

Kigodoro – TZW12B

Madam – TZW12C
Video ya muziki inayopendwa

Nani kama Mama – Christian Bella f/ Ommy Dimpoz – TZW13C

Wahalade –  Barnaba – TZW13D

XO – Joh Makini – TZW13E

Kupiga kura andika code ya jina ulipendalo na tuma ujumbe wa simu kwenda namba 15678 au tembelea

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.