HAWA NDIO MASTAA WA KIKE BONGO WALIOJIFUNGUA 2015..WAONE NA WATOTO WAO

Admin Updates9 years ago5 Views

Ni jambo la kufurahisha kutoka kwa baadhi ya mastaa wa kike hapa Tanzania ambao wameamua kujichukulia maamuzi ya kupata kopi zao mapema 2015 kwa kujifungua watoto, chanzo chetu kimebain idadi yao miezi michache tangu tuanze mwaka 2015.

Katika listi ya haraka tumebaini kuwa miongoni kati ya wasanii waliojifungua 2015 miezi kadha iliyopita ni pamoja na Zamaradi Mketema, Snura Mush, Hamisa Mobeto, Mboni Masimba, Aunt Ezekiel, Flara Mvungi, Flora Mbasha nk.

Hongereni kwa maamuzi yenu mazuri ya kutuletea vijana ambao tunategemea nawao waje kuwa mastaa hapo baadaye kama ninyi mlivyo na zaidi, pia hongera na kwako shabiki wa unayependa kutembelea tovuti hii.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.