Hawa Ndio Mastaa 20 wa Kike Bongo Wenye Followers Wengi Instagram

Admin Updates8 years ago5 Views

Mtandao wa Instagram kwa sasa unaonekana kutumiwa zaidi na watu wengi sio Tanzania pekee bali ni dunia nzima kwa ujumla. Ila kwa Afrika mastaa wa Bongo wanaonekana kupata followers wengi zaidi kwenye mtandao huo wakifuatiwa na mastaa wa Nigeria.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Bongo5, tumekuletea awamu ya kwanza ya orodha ya mastaa 20 wa kike Bongo wenye followers wengi kwenye mtandao huo wakiongozwa na malkia wa filamu nchini Madam Sepenga.

Tazama hapa chini orodha hiyo iliyowajumuisha mastaa kibao wakiwemo waigizaji, wasanii wa muziki, wanamitindo na wafanyabiashara kwenye tasnia ya burudani.

1.@ wemasepetu – 2.5M


2.@ wolperstylish – 2.4M



3.@ jokatemwegelo – 2.3M



4. @shilolekiuno_badgirlshishi – 2.2M



5.@auntyezekiel – 2.2



6.@vanessamdee – 2.1M



7.@shamsaford – 2M



8.@ elizabethmichaelofficial – 1.9M



9.@ officiallinah – 1.9M



10.@rossendauka – 1.7M



11.@new_kajala – 1.7M



12.@jidejaydee – 1.3M



13.@hamisamobetto – 1.3M



14.@queendarleen_ – 913K



15.@flavianamatata – 729K



16.@ireneuwoya8 – 747K



17.@j_n_mengi – 678K



18.@faizaally_ – 657K



19. @mspaulsen – 654K



20.@mwasitij – 642K

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.