HATIMAYE MKONGWE JUMA NATURE NAYE AFUNGUKA MSIMAMO WAKE UCHAGUZI MKUU 2015…NI HUYU HAPA

10 years ago108 Views


Wakati siasa ikiendelea kuchukua Headline na baadhi ya mastaa wakionesha hisia zao na mapenzi yao kwa watu ambao ni wagombea kwa vyama mbali mbali, leo Msanii wa bongo fleva Juma Nature ameamua kuweka wazi kuhusu msimamo wake kwa chama anachokiunga mkono kuwa ni Chama cha Mapinduzi (CCM) 
Hii ni baada ya kusikika kwa watu mbali mbali kuwa Juma Nature amekuwa hana msimamo na kutokuonyesha muelekeo wake leo ameamua kufunguka. 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.