
Malkia wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ siku ya jana anadaiwa ametolewa mahari na mpenzi wake wa muda mrefu Majay ikiwa ni maandalizi ya ndoa yao mwisho wa mwaka huu.
Mrembo huyo amefanya sherehe hiyo ikiwa ni siku chache toka amalize hadhabu yake ya kifungo cha miaka 2 jela baada ya kukutwa na hatia na mahakama ya kumuua Steven Kanumba bila kukusudia.
Katika video ambazo zinasambaa mtandaoni zinamuonyesha mrembo huyo akimtambulisha mume wake huyo mjarajiwa kwa wazazi wake.
Mkuu wa Mkoa Wa Dar Es Salaam Mheshimiwa Paul Makonda katika ukurasa wake wa instagram atoa pongezi kwa kuandika, “Mafanikio yenu yamebeba watu wengi, na kila hatua inaonyesha hamtanii basi Mungu wangu aendelee kuwaonyesha njia ili mfikapo mkawe msaada na kwawengine.”
Mastaa kibao walikuwepo kuhudhuria sherehe hiyo ya kutolewa mahali kwa Lulu jambo ambalo ni hatua mpya kuelekea ndoa yao inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






