DKT.NDUGULILE A TEMBELEA BANDA LA MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA)

6 years ago69 Views

 Meneja Mawasiliano na Elimu kwa Umma,wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),Gaudensia Simwanza (wapili kulia)akitoka maelezo ya kiudhibiti  kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile(Mb) leo alipo tembelea banda la  Mamlaka hiyo katika maonesho ya 43 ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam.
 Afisa Elimu kwa Umma wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),James Ndege akitoa elimu kwa wananchi namna Mamlaka hiyo inavyo kiudhibiti leo  walipo tembelea banda la  Mamlaka hiyo katika maonesho ya 43 ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), katika maonesho ya 43 ya Sabasaba mara baada ya kupata Maelezo ya kiudhibiti kwenye banda hilo tarehe 9 Julai, 2019

from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2XI9Du9
via

Previous Post

Next Post

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.